Viapo vya Allah Ta'ala katika Qur'an: Vina maana gani?
Assalamu alaikum wa rahmatullah, nina jaribu kusoma tafsir, na nimeona wakati mwingine Mwenyezi Mungu anaapa kwa vitu vingine badala ya jina lake, kama vile katika Suratul-Fajr anaposema "Walfajr." Je, kuna mtu anayejua hekima nyuma ya hilo? Jazakum Allahu khairan.