Usikome kuomba, hata wakati wa ukimya. 🤲
Umetoa dua yako, umeitoa nafsi yako nzima. Labda hujajibuwa bado, lakini Subhan'Allah, jua kwamba Mwenyezi Mungu (SWT) alilisikia kilio chako wakati ule ule ulipotoka moyoni mwako. Endelea kuwa na imani, Yeye anajibu kwa hekima na wakati wake kamili.