Je, Allah atanisamehe?
Najua sipaswi kuhoji rehema yake. Lakini ninajaribu kuacha baadhi ya madhambi. Mengine ninayaachia kidogo kidogo. Lakini bado kuna madhambi nina nia ya kufanya. Ninatafuta faraja katika dunia hii. Ninaswali tahajjud. Kwa kweli, ndani kabisa, kuna dhambi moja ninapanga kuendelea kufanya-hata ninapoomba msamaha.