Allah kakupa Eid nyingine kwa sababu. Usiiache ipite.
Fikiria-watu fulani walikuwa pamoja nasi Eid Al Fitr iliyopita, lakini sasa wameshaondoka, hawako hapa kuona Eid Al Adha hii. Je, yeyote kati yao angeweza kudhani kwamba Ramadan 2026 ilikuwa yake ya mwisho? Labda sio. Kwa hivyo, fanya leo iwe na maana. Fika msikitini mapema kwa swala ya Eid, weka ulimi wako busy na dhikr, sali swala zako zote kwa wakati, sema takbir baada ya kila faradhi, shiriki tabasamu, na toa sadaqah yoyote unayoweza, hata kama ni ndogo. Allah pekee anajua kama tutakuwepo kwa Eid ijayo.